Hii ni blog ambayo itakuwa inajikita katika maswala mbalimbali ya kijamii, kisiasa, kiuchumi, utamaduni, diplomasia, na hata burudani kutoka nje na ndani ya Tanzania, karibuni wote tujumuike katika kuleta maendeleo.
THE GREAT

Wednesday, December 7, 2011
HABARI ZA KIMATAIFA KATIKA PICHA
INDIA;mbio katika kupata kiti cha kudumu katika baraza la usalama la umoja wa kimataifa
wataalam wa hali ya hewa duniani wakionesha kuongezeka kwa joto duniani ambapo sasa jukumu la jumuiya ya kimataifa inabidi liwajibike
Rais wa Tanzania Mh.Dk Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza jambo kwa umakini wa hali ya juu katika mkutano wa commonwealth; katikati ni mwenyeji wa mkutano huo ambaye ni waziri mkuu wa australia
CAIN; 'kujivua gamba' republican baada ya kashfa ya 'kimada' ndoto za kuwa mpinzani wa obama hatimaye zayeyuka
wataalam wa hali ya hewa duniani wakionesha kuongezeka kwa joto duniani ambapo sasa jukumu la jumuiya ya kimataifa inabidi liwajibike
Rais wa Tanzania Mh.Dk Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza jambo kwa umakini wa hali ya juu katika mkutano wa commonwealth; katikati ni mwenyeji wa mkutano huo ambaye ni waziri mkuu wa australia
CAIN; 'kujivua gamba' republican baada ya kashfa ya 'kimada' ndoto za kuwa mpinzani wa obama hatimaye zayeyuka
DEFENSIVE REALISM THEORY
Defensive realism is an umbrella term for several theories of international politics and foreign policy that build upon Robert Jervis's writings on the security dilemma and to a lesser extent upon Kenneth Waltz's balance-of-power theory (neorealism).
Defensive realism holds that the international system
provides incentives for expansion only under certain conditions. Anarchy (the
absence of a universal sovereign or worldwide government) creates situations
where by the tools that one state uses to increase it security decreases the
security of other states.
This security dilemma causes states to worry about
one another's future intentions and relative power. Pairs of states may
pursue purely security seeking strategies, but inadvertently generate spirals
of mutual hostility or conflict. States often, although not always, pursue
expansionist policies because their leaders mistakenly believe that
aggression is the only way to make their state secure.
Defensive realism
predicts great variation in internationally driven expansion and suggests
that states ought to generally pursue moderate strategies as the best route
to security. Under most circumstances, the stronger states in the
international system should pursue military, diplomatic, and foreign economic
policies that communicate restraint.
Examples of defensive realism include:
offense-defense theory (Jervis, Stephen Van Evera, Sean Lynn-Jones, and
Charles Glaser), balance-of-power theory (Barry Posen, Michael Mastanduno),
balance-of-threat theory (Stephen Walt), domestic mobilization theories (Jack
Snyder, Thomas Christensen, and Aron Friedberg), and security dilemma theory
(Thomas Christensen, Robert Ross, and William Rose). (Sources: Jeffrey W.
Taliaferro, 'Security-Seeking Under Anarchy: Defensive Realism Reconsidered,'
International Security, 25, 3, Winter 2000/2001: 152-86; and John J.
Mearsheimer, (2002), Tragedy of Great Power Politics, W.W. Norton, New
York).
|
DEMOCRATIC PEACE THEORY
All democratic peace theories seek to explain the disputed empirical fact that two constitutional democracies have never gone to war with each other in recent history (1816 onwards). As such, they rest on a similar hypothesis: that relations between pairings of democratic states are inherently more peaceful than relations between other regime-type pairings (i.e. democratic versus non-democratic or non-democratic versus non-democratic).
To prove the
reality of the democratic peace, theorists such as Michael Doyle have sought
to show a causal relationship between the independent variable - 'democratic
political structures at the unit level' - and the dependant variable - 'the
asserted absence of war between democratic states'. Critics, such as Ido
Oren, dispute the claims of democratic peace theorists by insisting that
there is a liberal bias in the interpretation of 'democracy' which weakens
the evidence.
|
DEPENDENCY THEORY
Dependency theorists assert that so-called 'third-world' countries were not always 'poor', but became impoverished through colonial domination and forced incorporation into the world economy by expansionist 'first-world' powers.
Thus, 'third-world' economies became geared more toward the needs of their
'first-world' colonial masters than the domestic needs of their own
societies. Proponents of dependency theory contend that relationships of
dependency have continued long after formal colonization ended.
Thus, the
primary obstacles to autonomous development are seen as external rather than
internal, and so 'third-world' countries face a global economy dominated by
rich industrial countries. Because 'first-world' countries never had to
contend with colonialism or a world full of richer, more powerful
competitors, dependency theorists argue that it is unfair to compare
contemporary 'third-world' societies with those of the 'first-world' in the
early stages of development.
|
IMPERIALISM APPROACH TO THE INTERNATIONAL ORGANISATIONS
Hans J. Morgenthau defines imperialism as a national foreign policy aimed at acquiring more power than the state actually has, through a reversal of existing power relations, in other words, a favorable change in power status. Imperialism as a national foreign policy is in contrast to 'status quo' foreign policy and a foreign policy of 'prestige.'
The policy of imperialism
assumes the classical realist theory perspective of analysis at the unit
level in international relations. Furthermore, imperialism is based on a
'balance-of-power' construct in international relations.
The three types of
imperialism as outlined by Morgenthau are: Marxist theory of imperialism
which rests on the foundation that all political phenomena are the reflection
of economic forces; the Liberal theory of imperialism which results because
of maladjustments in the global capitalist system (e.g., surplus of goods and
capital which seek outlets in foreign markets); and finally, the 'devil'
theory of imperialism which posits that manufacturers and bankers plan wars
in order to enrich themselves.
From Morgenthau, Hans J. 1948. Politics
Among Nations: The Struggle for Power and Peace. McGraw-Hill, Boston.
(Chapter 5, The Struggle for Power: Imperialism).
|
MARXIST THEORY
A body of thought inspired by Karl Marx. It emphasises the dialectical unfolding of historical stages, the importance of economic and material forces and class analysis. It predicts that contradictions inherent in each historical epoch eventually lead to the rise of a new dominant class. The era of capitalism, according to Marx, is dominated by the bourgeoisie and will give way to a proletarian, or working class, revolution and an era of socialism in which workers own the means of production and move toward a classless, communist society in which the state, historically a tool of the dominant class, will wither away. A number of contemporary theorists have drawn on Marxian insights and categories of analysis - an influence most evident in work on dependency and the world capitalist system (Viotti, P. and M. Kaupp
Come to the contemporary international organisation you will find that world divided into three sects; to the upper or core-developed countries, to the middle or semi peripheral-middle income countries and at the bottom there are peripherals-developing countries.
The whole system of organisation controlled/monopolized/dominated by the big powers found at the top or what karl marx called bourgeisie class.Thus all benefits find to them.
The cooperation between peripherals at the bottom and the bourgeisie class will be in form of quite exploitation in nature, quite unequal exchange.
Thus the alternative to the international affairs is to increment coorperation with the middle class which almost not differ with the peripherals.
And this is seen to the determination done by developing countries to increase cooperation with middle income countries in the world such as states in latin america,far eastern-south asia like thailand,indonesia,singapore etc
Imperialists tentacles in forms of capital,experts,big companies,and banks now became the tool for exploit developing countries through its economic strategies of cartel,syndicate,and trustship
Class struggle to the peripherals is the responsibility of all developing countries including africa,carribeans and middle-south asia and all islands in far east like timors etc
They will achieve by reach to the consensus with the such terms in order to bring mutual benefits to all especially in economic terms
A body of thought inspired by Karl Marx. It emphasises the dialectical unfolding of historical stages, the importance of economic and material forces and class analysis. It predicts that contradictions inherent in each historical epoch eventually lead to the rise of a new dominant class. The era of capitalism, according to Marx, is dominated by the bourgeoisie and will give way to a proletarian, or working class, revolution and an era of socialism in which workers own the means of production and move toward a classless, communist society in which the state, historically a tool of the dominant class, will wither away. A number of contemporary theorists have drawn on Marxian insights and categories of analysis - an influence most evident in work on dependency and the world capitalist system (Viotti, P. and M. Kaupp
Come to the contemporary international organisation you will find that world divided into three sects; to the upper or core-developed countries, to the middle or semi peripheral-middle income countries and at the bottom there are peripherals-developing countries.
The whole system of organisation controlled/monopolized/dominated by the big powers found at the top or what karl marx called bourgeisie class.Thus all benefits find to them.
The cooperation between peripherals at the bottom and the bourgeisie class will be in form of quite exploitation in nature, quite unequal exchange.
Thus the alternative to the international affairs is to increment coorperation with the middle class which almost not differ with the peripherals.
And this is seen to the determination done by developing countries to increase cooperation with middle income countries in the world such as states in latin america,far eastern-south asia like thailand,indonesia,singapore etc
Imperialists tentacles in forms of capital,experts,big companies,and banks now became the tool for exploit developing countries through its economic strategies of cartel,syndicate,and trustship
Class struggle to the peripherals is the responsibility of all developing countries including africa,carribeans and middle-south asia and all islands in far east like timors etc
They will achieve by reach to the consensus with the such terms in order to bring mutual benefits to all especially in economic terms
Tuesday, November 22, 2011
WHY TANZANIA DELAYING ON RECOGNISE NTC OF LIBYA?
Since the uprising of libya up to now Tanzania has not yet recognise the transition council of libya;the reasons behind are unknown although in reality it pretend to follow effectively the vienna convesion.
The view of TZ toward to libya is the complex issue and has widerfocus. The interrogative to the world politics asks themselves why TZ recognise transitional federal government of Somalia in time there are civil wars and chaos also the same to palestine weak government.
When we come to Nigeria civil wars you will find that TZ was championing in the recognition of Biafra.The general question comes that what is the nature of TZ foreign policy and how about the the behaviour of TZ foreign policy.Is that reality TZ follow vienna convesion? or its because of TZ foreign interests.
AND SO LET WELCOME THE DISCUSSION ABOUT THAT....!!
Since the uprising of libya up to now Tanzania has not yet recognise the transition council of libya;the reasons behind are unknown although in reality it pretend to follow effectively the vienna convesion.
The view of TZ toward to libya is the complex issue and has widerfocus. The interrogative to the world politics asks themselves why TZ recognise transitional federal government of Somalia in time there are civil wars and chaos also the same to palestine weak government.
When we come to Nigeria civil wars you will find that TZ was championing in the recognition of Biafra.The general question comes that what is the nature of TZ foreign policy and how about the the behaviour of TZ foreign policy.Is that reality TZ follow vienna convesion? or its because of TZ foreign interests.
AND SO LET WELCOME THE DISCUSSION ABOUT THAT....!!
THE UNIVERSITY OF DODOMA
INTERNATIONAL RELATIONS STUDENT ASSOCIATION
This is an association which almost includes all students of international relations from UDOM,The association established after the consesus of april 2011 to the meeting which involved representatives from first year up to third year.The target of the association is to bring together all students of IR and that so to discuss academic matters and the way to practise to the contemporary fields as thus to be significants and competents,hence to help our state and international affairs into various aspects like in socio political ,economic and culture;by doing that we believe and expect that the state and world will be in PEACE and ORDER
THE MAJOR AIMS/OBJECTIVES OF IRSA-UDOM
1.To undergo timely discussions concerning with our studies.
2.To have academic tour concerning with our field
3.To undergo various research concerning with our field
4.To discuss about employment opportunities and fields
5.To conserve environment worldwide
6.To act like consultatives to the field
and others.
FOCUS OF ASSOCIATION
As Students of UDOM studying IR we focus on helping/serve our state in international matters/affairs
EVENTS OF ASSOCIATION 2011/2012
To have tour to kurasini/udsm to discuss world matters and fall of liberalism in the world,also to have sports and games with them.
To have several "show games" about football with other courses
To have ceremony of establishing after one year
To have discussion concerning with the world politics and UN and International Organisations and so forth
ASSOCIATION ANNOUNCEMENTS
As soon as possible in early of december in this year we will have meeting with all members
And also tour after consesus of association general meeting
U ARE ALL WELCOME DIPLOMATICALLY!!
INTERNATIONAL RELATIONS STUDENT ASSOCIATION
This is an association which almost includes all students of international relations from UDOM,The association established after the consesus of april 2011 to the meeting which involved representatives from first year up to third year.The target of the association is to bring together all students of IR and that so to discuss academic matters and the way to practise to the contemporary fields as thus to be significants and competents,hence to help our state and international affairs into various aspects like in socio political ,economic and culture;by doing that we believe and expect that the state and world will be in PEACE and ORDER
THE MAJOR AIMS/OBJECTIVES OF IRSA-UDOM
1.To undergo timely discussions concerning with our studies.
2.To have academic tour concerning with our field
3.To undergo various research concerning with our field
4.To discuss about employment opportunities and fields
5.To conserve environment worldwide
6.To act like consultatives to the field
and others.
FOCUS OF ASSOCIATION
As Students of UDOM studying IR we focus on helping/serve our state in international matters/affairs
EVENTS OF ASSOCIATION 2011/2012
To have tour to kurasini/udsm to discuss world matters and fall of liberalism in the world,also to have sports and games with them.
To have several "show games" about football with other courses
To have ceremony of establishing after one year
To have discussion concerning with the world politics and UN and International Organisations and so forth
ASSOCIATION ANNOUNCEMENTS
As soon as possible in early of december in this year we will have meeting with all members
And also tour after consesus of association general meeting
U ARE ALL WELCOME DIPLOMATICALLY!!
Monday, October 31, 2011
MGOGORO WA LIBYA ;NANI ALAUMIWE?
Kumekuwa na ubishan mkubwa juu ya ufumbuzi wa suluhu ya Libya.Matumizi ya nguvu yaliyotumiwa na NATO dhidi ya Libya yamelaumiwa na AU wakati huohuo umoja wa mataifa ukifumbia macho.
Karibuni mtoe mchango wenu nani alaumiwe?.
Karibuni mtoe mchango wenu nani alaumiwe?.
Sunday, October 30, 2011
SHUKURANI NA DIBAJI
Napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwa MOLA maana ndiye mweza na mwezeshaji wa yote tuyaonayo na tusiyoyaona.Pia wazazi wangu Bw. na Bi Kasyeta, Udom, Lecturers wangu wote,na marafiki na wapenzi wote wanaopenda kazi yangu ya uchambuzi wa diplomasia ya kimataifa.Kwa ujumla wao wanafunzi wanaosoma BA IR wa mwaka wa pili waliotutangulia kwa mchango wao wa kusaidia kuchambua mambo mbali mbali yahusuyo diplomasia ya kimataifa katika tathnia hii ya IR.
Kwa upekee kabisa shukurani ziwaendee brother K,ombo, Isaac A,Mwinjuma ,marafiki; Salehe,Kamzora,Lupyana,Michael,Kikoti,Lawrence,Ngosha Lwitiko na wengineo kwa kunitia moyo katika kufanikisha hili.NASEMA ASANTENI SANA.
aaaaaash nimemsahau kidosho wangu oshh!!
Kwa upekee kabisa shukurani ziwaendee brother K,ombo, Isaac A,Mwinjuma ,marafiki; Salehe,Kamzora,Lupyana,Michael,Kikoti,Lawrence,Ngosha Lwitiko na wengineo kwa kunitia moyo katika kufanikisha hili.NASEMA ASANTENI SANA.
aaaaaash nimemsahau kidosho wangu oshh!!
NI KUFA KWA DIPLOMASIA AU DIPLOMASIA TEGEMEZI
Ni jambo la kushangaza kuona matatizo mbalimbali yanaikummba dunia wakati wajuzi stadi katika uwanja wa diplomasia ya kimataifa wapo.Matatizo haya yanasababishwa na suala kiuchumi na siasa za dunia yaani world politics.Kwa nchi zilizoendelea hususani za magharibi diplomasia yake hutegemea sana nguvu za kijeshi na hii inajidhihirisha pale wanapotumia chombo chao mathubuti cha kujihami yaani NATO,kuhakikisha kuwa diplomasia yao ya kimataifa yenye manufaa ya kiuchumi inafanikiwa kwa nguvu za kijeshi.Wakati huohuo nchi za mashariki ya mbali kama china na zile za economic tigers hutumia nguvu za kiuchumi na bidhaa katika hali ya teknolojia ya juu kufanikisha diplomasia yao ya kimataifa, na hii pia inajidhihirisha pale wanapozalisha bidhaa nyingi haramu na sahihi yaani ubidhaaishaji [comparative advantage] na kuuza nje kwa bei nafuu.
Kwa hiyo katika kuhakikisha adhma yao inafanikiwa yaani katika kupata maeneo ya uwekezaji mkubwa wa mali ghafi, soko huru,na wafanyakazi rahisi husababisha mikwaruzano na migogoro ya kiuchumi [economic conflicts] ambayo yangeweza kusuluhishwa kidiplomasia tu [economic diplomacy].Ile nadharia ya ubinafsi imepitwa na wakati na sasa kuna utandawazi ambao ndio unaochochea matatizo duniani kwa maana isiyoeleweka[misconception and abuse of globalism] ,Diplomasia ya kimataifa imefifishwa sana na mambo haya na kufanya tathnia nzima ya diplomasia kufunikwa.Matokeo yake ni migogoro isiyoisha,vita vya kiraia na kati ya nchi na nchi,kuporomoka kwa soko la dunia [fall of world market],na kuporomoka kwa uchumi wa kidunia[international economy]nk, Nini kifanyike ni suala la nchi kuchukua hatua za kidiplomasia,katika kuhakikisha dunia inakuwa mahala pa usalama kwa maendeleo ya biashara na ustawi wa kiuchumi.
Kwa hiyo katika kuhakikisha adhma yao inafanikiwa yaani katika kupata maeneo ya uwekezaji mkubwa wa mali ghafi, soko huru,na wafanyakazi rahisi husababisha mikwaruzano na migogoro ya kiuchumi [economic conflicts] ambayo yangeweza kusuluhishwa kidiplomasia tu [economic diplomacy].Ile nadharia ya ubinafsi imepitwa na wakati na sasa kuna utandawazi ambao ndio unaochochea matatizo duniani kwa maana isiyoeleweka[misconception and abuse of globalism] ,Diplomasia ya kimataifa imefifishwa sana na mambo haya na kufanya tathnia nzima ya diplomasia kufunikwa.Matokeo yake ni migogoro isiyoisha,vita vya kiraia na kati ya nchi na nchi,kuporomoka kwa soko la dunia [fall of world market],na kuporomoka kwa uchumi wa kidunia[international economy]nk, Nini kifanyike ni suala la nchi kuchukua hatua za kidiplomasia,katika kuhakikisha dunia inakuwa mahala pa usalama kwa maendeleo ya biashara na ustawi wa kiuchumi.
THE WAY I SEE
Dunia sasa inakoelekea sio mahala sahihi kutokana na kuwepo kwa kile kinachoitwa balance of power and millitarism na pia uwepo wa madaraja yaani lile la juu bora zaidi,la kati na chini ambalo ni duni kabisa.Hofu zaidi ni kuongezeka kwa nafasi yaani gape kati ya daraja ya chini kabisa ambayo ni duni na ile ya juu kabisa ambayo ni tajiri, ongezeko la kasi la mtikisiko wa kiuchumi duniani, nishati kuwa juu sana, chakula nacho kuwa juu.. na kile wanachokiita mapinduzi kuelekea utawala bora.Sasa ni kwamba dunia inaelekea wapi?
Mimi nionavyo ni kurudi kulekule tulikotoka katika kipindi vita vya dunia,ukoloni,na uhasama,chuki na ubinafsi.Nini cha kufanya ni jukumu la kila mmoja wetu kuokoa dunia,kwa kuhakikisha anatoa mchango wake wa kimawazo ili kuinusuru dunia ili iwe mahala pa amani na ustawi wa uchumi unaojumuisha watu wote na
mataifa yote duniani.
Mimi nionavyo ni kurudi kulekule tulikotoka katika kipindi vita vya dunia,ukoloni,na uhasama,chuki na ubinafsi.Nini cha kufanya ni jukumu la kila mmoja wetu kuokoa dunia,kwa kuhakikisha anatoa mchango wake wa kimawazo ili kuinusuru dunia ili iwe mahala pa amani na ustawi wa uchumi unaojumuisha watu wote na
mataifa yote duniani.
Friday, May 27, 2011
We Can
Karibuni katika blog yangu mchangi mawazo na mtoe maoni jinsi ya kuiboresha. Nawategemea sana na ninawapenda sana
Subscribe to:
Posts (Atom)