THE GREAT

THE GREAT

Sunday, October 30, 2011

SHUKURANI NA DIBAJI

Napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwa MOLA maana ndiye mweza na mwezeshaji wa yote tuyaonayo na tusiyoyaona.Pia wazazi wangu Bw. na Bi Kasyeta, Udom, Lecturers wangu wote,na marafiki na wapenzi wote wanaopenda kazi yangu ya uchambuzi wa diplomasia ya kimataifa.Kwa ujumla wao wanafunzi wanaosoma BA IR wa mwaka wa pili waliotutangulia kwa mchango wao wa kusaidia kuchambua mambo mbali mbali yahusuyo diplomasia ya kimataifa katika tathnia hii ya IR.

Kwa upekee kabisa shukurani ziwaendee brother K,ombo, Isaac A,Mwinjuma ,marafiki; Salehe,Kamzora,Lupyana,Michael,Kikoti,Lawrence,Ngosha Lwitiko na wengineo kwa kunitia moyo katika kufanikisha hili.NASEMA ASANTENI SANA.

aaaaaash nimemsahau kidosho wangu oshh!!

No comments:

Post a Comment