Hii ni blog ambayo itakuwa inajikita katika maswala mbalimbali ya kijamii, kisiasa, kiuchumi, utamaduni, diplomasia, na hata burudani kutoka nje na ndani ya Tanzania, karibuni wote tujumuike katika kuleta maendeleo.
THE GREAT
Monday, October 31, 2011
MGOGORO WA LIBYA ;NANI ALAUMIWE?
Kumekuwa na ubishan mkubwa juu ya ufumbuzi wa suluhu ya Libya.Matumizi ya nguvu yaliyotumiwa na NATO dhidi ya Libya yamelaumiwa na AU wakati huohuo umoja wa mataifa ukifumbia macho.
No comments:
Post a Comment